Na Sylvester Richard
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Amon Daudi Kakwale amesema kufanya mazoezi ya pamoja kwa maafisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali kutoka Majeshi ya Wizara ya Mambo ya Ndani Nchi pamoja na vyombo vingine vya ulinzi na usalama yazingatiwe ili kuimarisha ushirikiano katika utendaji.

Post a Comment