Na Amini Nyaungo
Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kusimama imara kuilinda na kutunza Tanzania kwa nguvu ari pamoja na moyo ili urithi ulioachwa na waasisi wa Taifa uendeee kudumu.
Nyalandu amesema vijana wanatakiwa wajitambue na kuwa wazalendo kwa taifa lao kwani vijana ndio nguzo ya uongozi wa miaka ijayo."Vijana nyie ndio nguzo ya taifa , taifa linawategemea kuweni wazalendo," Nyalandu
Aidha ametumia fursa hiyo kuwaambia kuwa CCM imebahatika kumpata Rais Samia Suluhu Hassan katika kuongoza nchi ya Tanzania.
"Tumebahatika kupata Rais mwenye maono makubwa sana kwa taifa hili, sio tu kiongozi bali ni kiongozi mwenye maono ya kuendesha taifa mbele,"Nyalandu
Mwisho

Post a Comment