Kufuatia tamko la Waziri wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu alipotembelea Tasisi ya MOI kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan atagharamia matibabu ya upasuaji na utengamao kwa watoto 100 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi Nchini familia ya Samsoni Salamba wakazi wa Kata ya Tinde Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wameiomba Serikali kumsaidia huduma ya matimbabu mtoto wao mwenye umri wa miaka mitatu ambaye anasumbuliwa na tatizo hilo.
HABARI
MICHEZO
Home
»
»Unlabelled
» SERIKALI KUGHARAMIA UPASUAJI KWA WATOTO SHINYANGA
CHAMBER MEDIA's Admin
Asante Mfuatiliaji wa Chamber Media Ukiwa na Maoni au Jambo lolote Kuhusu Taarifa Zetu Tafadhali Wasiliana nasi +255 717 519 981 Asante na Endelea Kubaki nasi..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CHAMBER TV
Popular Post
-
Na Amini Nyaungo Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini Ramadhan Ighondo ametoa rai kwa Wakandarasi wababaishaji wajiangalie na fedha zinazoto...
-
Charles Kikiricho Wananchi wameombwa kujitokeza katika vituo vya afya kwaajili ya kupima ugonjwa wa kifua kikuu ili waweze kupata tiba kwan...
No comments: