KIARATU APITA MCHUJO KUGOMBEA UBUNGE CCM TAIFA

Na Amini Nyaungo



Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Singida Yagi Maulid Kiaratu amepita katika mchujo wa wagombea Chama Cha Mapinduzi (CCM) TAIFA ambapo sasa kazi iliyobaki ni sehemu ya mkoa kwa ajili ya kuwakilisha chama hicho mkoa wa Singida.

Kiaratu aliwahi kuwa Diwani wa kata ya Majengo pamoja na kuwa mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida kwa kuanzia mwaka 2020 hadi mwaka huu wa 2024.

Aidha katika orodha yao walirudi ni wagombea sita Mussa Sima ambaye ndiye aliyehudumu Jimbo hilo hadi alipomaliza muda wake.



Waliorudi ni pamoja na Yagi Kiaratu, Khalid Salum Mwinyigongo,Mussa Ramadhani Sima, Hassan Phillip Mazala, Halima Saad Mhando, Hamis Ally Kilinga na Barnabas Massawe.

Miwsho

 

Post a Comment

Previous Post Next Post