TAARIFA ZA MGAO WA MFUKO WA JIMBO SINGIDA KASKAZINI

 *Taarifa kuhusu mgao wa Fedha za Mfuko wa Jimbo la Singida Kaskazini January, 2025*

*Mhe. mbunge wa Jimbo la singida kaskazini Ramadhani Ighondo anapenda kuutaarifu umma na wananchi kuwa amepokea fedha za mfuko wa Jimbo kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Kiasi Cha Tshs 84,660,000/=*


*Tarehe 02/01/2025 kamati ya mfuko wa Jimbo ikiongozwa na Mhe Mbunge ilifanya ziara ya kukagua miradi iliyopewa fedha za mfuko huo Kwa kipindi Cha nyuma ambapo walitembelea miradi kadhaa jimboni*


 *Tarehe 03 /01/2025 Mhe. Mbunge aliongoza kikao cha kamati ya mfuko wa Jimbo na kugawa fedha hizo katika miradi mbalimbali kama ifuatavyo:*   

  1.*Mtinko: Ukamilishaji  wa madarasa mawili na ofisi shule ya Msingi  chief Gwao Tshs 3,000,000/=*   


 2.*Mrama: Kuvuta maji Zahanati ya makhandi Tshs.2,000,000/=*       


   3.*Mgori - ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa shule ya Msingi munkhola sh.3,000,000/=.*  


               

4.*Merya:  ujenzi wa zahanati ya Kijiji Cha Merya Tshs.4,000,000/=*   


   5.*Itaja: Ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu shule ya Msingi itaja Tshs.2,600,000/=.*    


 6.*Msisi: ukamilishaji wa madarasa 2 na ofisi shule shikizi mijuhu -  Ntondo Tshs 5,000,000/=*


   7.*Merya:  Ukamilishaji wa madarasa 2  shule ya Msingi mvae* *Tshs.1,000,000/=*


8.*Mwasauya: Ununuzi wa magodoro ya vitanda vya hosteli shule ya secondary Mwasauya Tshs.5,000,000/=*  


  9.*Mtinko: Ununuzi wa madawati shule ya Msingi Muungano Tshs.2,500,000/=*.   


 10. .*Ilongero: ujenzi wa vyoo shule ya Msingi sekoutoure Tshs.3,000,000/=*.   


 11.*Mrama: Ujenzi wa vyoo shule ya Msingi mwakiti Tshs.3,000,000/=.* 


  12.*Kinyagigi:  Ujenzi wa madarasa shule shikizi Sinawida Tshs 5,000,000/=.*

                     12.*Mughunga:Ukamilishaji wa vyumba vya Madarasa shule shikizi Nduamuganga Tshs.5,000,000/=*.  

 

 13.*Ngimu: Ukamilishaji wa vyumba 2 na ofisi ya shule ya Msingi Pohama (Itaho) Tshs 3,000,000/=*


  14.*Mwasauya: Matengenezo ya Kisima cha  maji - Sokoine Tshs 7,000,000/=.*     


    15 .*Ikhanoda: Kununua mabomba na vifaa vya kusambaza maji - Ikhanoda Tshs 5,000,000/=.*   


   16.*Mgori:  Viti na meza 50 Shule ya Sekondari Mwanamwema Shein Tshs 3,000,000/=.*          


 17. *Makuro: Ukarabati wa madarasa  Shule ya Msingi Ngo'ngoampoku Tshs 2,500,000/=.*   


 18.*Mughamo:  Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa shule shikizi  mwandumo Tshs 5,000,000/=*. 


 19.*Maghojoa: Ukamilishaji wa nyumba ya Mganga zahanati ya mwachambia Tshs 3,000,000/=.*


 20.*Msange: Ujenzi wa vyoo shule ya Msingi Sefunga Tshs 4,000,000/=*. 


  21.*Ntonge: Ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu shule ya Msingi Ifombou Tsh 4,000,000/=.*  


  22. *Ngimu: Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa shule shikizi ya Mkese  Tshs 2,160,000/=*.


Imetolewa na:

Ofisi ya Mbunge 

Jimbo la Singida Kaskazini

Post a Comment

Previous Post Next Post