NAMNA MARTHA GWAU ALIVYOPIGA KURA

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini Tanzania umefanyika leo kila mmoja akisubiria kusikia matokeo.

Chamber Media tunakuletea picha za Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida Martha Gwau akiwa anapiga kura pamoja na video yake baada ya kupiga kura.
Mheshimiwa Martha Gwau akisalimiana na wasimamizi wa kituo cha kupigia kura Kata ya Majengo.

Baada ya kupiga kura alama inayofuata hiyo kidole cha mwisho hapo sasa mambo shwari
Vijana wanasema "Deal done" kashawekwa alama katika kidole chake.
Ndio hivyo tena kashapoga kura


Hapa sasa baada ya kupiga tiki sasa anaenda kuweka katika mabosi ya kupigia kura

Hapa akipokea maelezo kwa msimamizi wa kupiga kura.
Anamaliza sehemu ya mwisho kuweka karatasi yake ya kupigia kura


Hapa akipewa karatasi kwa ajili ya kupiga kura
Maelezo kidogo kwa wasimamizi wa kituo cha kupigia kura.
Tabasamu baada ya kupata maelekezo na sasa anaenda kufanya maamuzi


Hapa akiangalia jina lake je ana lipo lakini baadae kaliona na akaingia kupiga kura.
Wasimamizi wenyewe wamefurahi amepiga kura na wamefurahi kwa kushikana mkono.


Ilifika mida ya picha vijana wameomba ukumbusho wa picha kwa Mhe. GWAU.

Baada ya kupiga kura tulienda Mbashara kabisa Standard Radio 

Post a Comment

Previous Post Next Post