MGONTO ATUNUKIWA CHETI NA SIREFA KITILA AHUSIKA
Amini Nyaungo
0
Na Amini Nyaungo
Chief Thomas Mgonto jana alikabidhiwa cheti cha kuendeleza na kukuza michezo Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida baada ya kuhitimisha ligi yake aliyoishia Oktoba 13,2024 iloyopigwa katika uwanja wa shule ya Sekondari Siuyu.
Pia amesema kuwa sio wadau wengine hawafanyi hivyo bali hawafuati vigezo na masharti ikiwepo kufika SIREFA kufuata utaratibu wa vibali hivyo ni vyema kufuata utaratibu.
Amesema kuwa anatamani kuona katika ligi yake wachezaji wanaenda mbali zaidi huku akiweka wazi mwakani atainogesha zaidi.
Post a Comment