Na Amini Nyaungo

Ameyasema hayo leo alipokuwa akifanya mahojiano na Standard Radio juu ya umuhimu wa kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa pamoja na kuwakumbusha utofauti wa uchaguzi huu wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Dendego ametumia nafasi hiyo kuwakumbusha kuwa kupiga kura ni haki ya mwananchi ya msingi hivyo wasikubali kupoteza na njia rahisi kujiandikisha.
"Kupiga kura ni haki ya msingi ya kila mmoja hivyo msikose, mkajiandikishe,"Dendego
Uchaguzi wa Serikali za Mtaa yanafanyika tarehe 27.11.2024.
Mwisho.
Post a Comment