MBAPPE KUIKOSA ARSENAL UEFA

Na Amini Nyaungo



Wachezaji wanne wa Real Madrid wanatuhumiwa kufanya vitendo visivyo vya kiungwana walipocheza dhidi ya Atletico Madrid.

Wachezaji hao walionesha ishara za matusi kwa kushika sehemu zao za siri wakati wa kushangilia.



Baadha ya kuona vitendo hivyo UEFA wanaendelea na uchunguzi wakibaini kama wamefanya vitendo hivyo basi watafungiwa kwa baadhi ya mechi na kama uchunguzi ukikamilika kabla ya mchezo wa Arsenal utakaofanyika April 8 Emirate basi watafungiwa kuanzia mchezo huo.

Mwisho 

Post a Comment

Previous Post Next Post