Mtumishi anapopewa zawadi inayozidi elfu hamsini anatakiwa aipeleke kwa mwajili wake ili ampe risiti au aiamulie matumizi mengine ya pesa hiyo kwaajili ya ofisi.
"Muajiliwa yoyote akipata zawadi baada ya kufanyakazi vizuri anatakiwa aipeleke kwa muajili wake ili ampe risiti na aiamulie matumizi mengine au ampe yeye aliyepewa, " John.
John ametumia fursa hiyo kuelezea kwanini watu wanatoa rushwa akisema ni mmonyoko wa maadili kwa wanaotoa na wanaopokea.
Mwisho.
Post a Comment