TETESI ZA SOKA ULAYA

Mchezaji Kevin de Bruyne

Manchester City wanajizatiti kuwasilisha ombi kutoka kwa vilabu vya Saudi Pro league kumnunua kiungo wa kati wa Ubelgiji Kevin de Bruyne, 32. (Mail)

Itachukua ofa ya zaidi ya £100m kwa City kufikiria kumuuza De Bruyne. (Talksport) 

Post a Comment

Previous Post Next Post